iqna

IQNA

New Zeland
TEHRAN (IQNA)- Gaidi raia wa Australia aliyefanya mauaji ya umati dhidi ya Waislamu katika mji wa Christchurch huko New Zealand amefikishwa kizimbani kujibu mashtaka.
Habari ID: 3471968    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/22

TEHRAN (IQNA)- Shule ya Waislamu mjini New Castle Uingereza imehujumiwa na watu wenye chuki dhidi ya Uislamu ambao walivunjia haeshima nakala za Qur'ani Tukufu katika shule hiyo.
Habari ID: 3471891    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/28